kuza biashara yako

kuza biashara yako

Pages

Tuesday, January 1, 2013

WALICHO KIFANYA WANAFUNZI WA SHAHADA YA KWANZA YA SOSHOLOJIA YA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) NI MFANO WA KUIGWA.



Mmoja wa Wanafunzi wa shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) Dorry Michael akipanda mti katika Shule ya Sekondari ya Itenga iliyopo Nkuhungu Mjini Dodoma
 
 
Baadhi ya wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wameupokea mwaka Mpya 2013 kwa kushiriki katika zoezi la upandaji wa Miti katika Shule ya Sekondari Itega iliyopo Nkuhungu, Wilaya ya Dodoma Mjini, Mkoani Dodoma.
 
 
 Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa wanapanda Miti katika Shule ya Sekondari ya Itenga iliyopo Nkuhungu,Wilaya ya Dodoma Mjini Mkoani Dodoma
 Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakipanda miti katika Shule ya Sekondari ya Itenga iliyopo Nkuhungu wilaya ya Dodoma Mjini Mkoani Dodoma
 
Picha Na Dorry Michael Wa Lukaza Blog UDOM

No comments :

Post a Comment