kuza biashara yako

kuza biashara yako

Pages

Friday, January 4, 2013

MUONEKANO WA COLLEGE BARAZA CHUO CHA CBE LEO ...


     Mwenyekiti wa  Mkutano huo (College Baraza) Ambae pia ni Spika wa Bunge  Mh Egubo  Jason (Wapili kutoka kushoto) Akitoa Utaratibu juu ya kikao hicho.
 Kutoka kulia ni  Bw. Michael Mng'ang'a (waziri mkuu -cobeso), Mzee Kiwaya (Meneja wa Raslimali watu),Bw. Sikato ( Mshauri wa wanafunzi) , Kaimu makamu mkuu wa chuo (Mahimbo), Robert  Mwitango (Rais Cobeso) na Egubo Jason (Spika wa Bunge na  Mwenyekiti wa College baraza)
 Wanachuo walio hudhuria wakifuatilia kwa makini kile kilichokuwa kinaendelea
  Naibu spika  akiwa amesimama  mbele ya  jopo la viongozi wa serikali ya wanachuo COBESO.
 Muonekano  wa Mahudhurio
 Baadhi ya  wakuu wa Idara walio hudhuria mkutano huo  wakisikiliza kwa makini kile kilichokuwa kinaendelea
  Rais wa Serikali ya Wanachuo Bw. Robert Daudi  akijibu  baadhi ya  maswali  kama serikali.
 Kaimu makamu mkuu wa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)  ndugu Mahimbo   akitoa ufafanuzi  juu ya masuala  ya msingi yaliyo elekezwa kwake .
  Muonekano wa Mahudhurio mkutano huo wa wanafunzi.

No comments :

Post a Comment