Josephat Mushi
Josephat Mushi ni miongoni Mwa Wanafunzi walio wahi kusoma chuo cha Madini Dodoma na Alihitimu Mwaka 2011 akiwa na Diploma ya Geology and Mineral Exploration. Kijana huyu ni miongoni mwa Vijana wachache ambao wamekuwa na mitazamo ya Kujiajiri zaidi kuliko kuajiliwa. Kwa sasa anafanya kazi katika kampuni ya African Barrick Gold - Nyamongo ,Mara,Tanzania yeye ni geo tech ( ambaye hasa anashughulikia ku- control Gold Grade)
Bw. Josephat anakuja na mtazamo ufuatao kwa wanachuo wenzake waliosoma madini lakini analeta changamoto kwa wanavyuo wengine wenye taaluma mbalimbali.
HUU NI MUDA WETU WA KUJIAJIRI KW TAALUMA ZETU TULIZONAZO NA KUACHWA KUAJIRIWA
Guys wana madini tunaoitwa kada ya kati...chuo kinazidi kutapika vijana
na ajira migodini zina zidi kubana maana kila kukicha wageni wenye elimu
kiduchu kuliko ya kwetu sisi wanapewa kipaumbele na kulipwa mabilioni
lukuki na sisi tukibakiwa na faranga za kubadili nguo na kusogeza siku
baaada ya kukaa na kutafakari na baadhi ya wdau ambao nao wanamtizamo wa
mihangaiko kama mimi tukaja na wazo moja ambalo nafikiri kwa kupitia
taaluma tulionayo tunaweza jikuta tunakwenda kwa wazungu kuchukua uzoefu na kimtaji kidogo tu....wazo lenyewe naweza liita hivi
MADINI MINING GROUP...Ambapo hizi ni group zitakazo undwa na wataalamu
wajiologia,mainjinia na wachenjua,wasiozidi kumi kwa ratio ya 3;3;4 kila kozi angalau wenye uzoefu usiopungua mwaka mmoja kadi migodi tofauti
MAKUNDI HAYA YATAFANYA NINI??????
KWANZA yataanza kwa kuchanganya kamtaji kadogo kama mil 10 ambazo watanunua baadhi ya vifaa kama crushers na vingine vya kitaalamu na vile visivyo muhimu sana wanaweza kukodi
WATAFANYA NINI????
Hawa kwa umoja wao watashirikiana na wachimbajiwadogo wadogo waliozagaa
tz nzima ,chunya,nzuguni,kanda ya ziwa kote katika swala zima la kure
cover dhahabu na madini yote,wanaweza hata kuanza kw kusaga tailings
zilizoachwa na wachimbaji wadogo wdogo ..GEOLOGY WATAKUWA WAKITUMIA
TAALUMA YAO KUWADIRECT SMALL MINERS SEHEMU YENYE POTNTIAL NA KUPATA
madini kwa urahisi, wahandisi watasaidi katika kuwaelimisha hawa
wachimbaji namna ya kuchimba mashimo yenye usalama ..hii ni kwa kifupi
ila najaribu kuwapa mwanga ambao mimi na BW kunju (wanafanya kazi wote na walisoma wote pia) tuliweza kuugundua
tulipokuwa tumeekaa pit tuna spot ore ya mzungu
jinsi
tunavyokuwa tutanunua dhahabu na madini ya wachimbaji wadogo na mwisho wa
siku madini ya dodoma itakuwa zaidi ya sasa maana tunadharaulika na
haijulikana tumesomea wapi ....kama unafkiri tunaweza shirkiana join me.
Anapatikana kwa simu namba 0713795928 kuanzia saa 2 usiku hadi
saa3 usiku kila siku na jumatatu siku nzima...
STRIVING FOR BETTER FUTURE GUYZ
No comments :
Post a Comment