kuza biashara yako

kuza biashara yako

Pages

Friday, January 11, 2013

HII NI ZAIDI YA MATESO....



Hivi karibuni Kamera yetu Imemnasa mwanachuo mmoja wa chuo cha  Elimu ya Biashara  (CBE) akiwa katika dimbwi la Mawazo ,  hali ambayo siyo ya kawaida  saaana , Hata hivyo haikufahamika mara moja kwamba mwanachuo huyo alikuwa  anawaza nini  muda huo.
Katika kutaka kujua kile kilichokuwa kikiendelea na kumsonga mwanachuo huyo,Dodoma universities corner  ilijaribu kuzungumza  na Mwanachuo huyo kujua nini hasa  kilikuwa kinamkabili muda huo, hata hivyo  hakuwa tayari  kuzungumza lolote.
 Wakati mwingine  Wanachuo hukumbana na Misongo ya mawazo  ambayo mara nyingi husababishwa na  Matatizo ya kifamilia, Mahusiano  baina yao wawapo chuoni, Masomo  na mambo mengine  mengi ambayo yanaweza kumkuta binadamu yeyote Duniani. 
Ingawa sio wote  wanao onekana kwamba wana mawazo  huwa kweli wana waza/au kuwa na msongo wa mawazo, wakati mwingine ni kile kinacho fahamika kama "Mapozi"

No comments :

Post a Comment