Muda ulipofika tuliweka shida chini na kuweka mikono juu na kubanjuka kinomanoma na mambo yaliikuwa hiviiiii
Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kuuona mwaka 2013
tunamuomba mwenyezi mungu atupe maisha marefu na yenye baraaka tele na
atujaalie tuweze kutimiza malengo yetu.
Habari hizi ni kwa hisani ya suleiman magoma blog
No comments :
Post a Comment