kuza biashara yako

kuza biashara yako

Pages

Wednesday, February 13, 2013

HUYU NDIYE MWANAFUNZI WA CBE ALIYEFARIKI DUNIA TAREHE 08/02/2013

Photo: daima tutakukumbuka Baraka Msomali                           Marehemu   Baraka Luhizo (Msomali)
Mwanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara CBE Kampasi ya Dodoma Bw. Baraka Luhizo ali - maarufu kama MSOMALI Alifariki dunia  siku ya  Ijumaa wiki  iliyopita (Tarehe 08/02/2013 ) Tuliani - morogoro.
Kwa mujibu wa Chanzo chetu cha Habari , Marehemu  alikutwa na Mauti  hayo baada ya kudondokewa na Mwamba  hali iliyo sababisha kufariki dunia. Hata hivyo Mwili wa marehemu ulizikwa  Tarehe  09/02/2013  baada ya mwili huo  kuharibika vibaya.
Marehemu Baraka  Luhuzo (Msomali) ,Alikutwa  na Mauti hayo  ikiwa ni miezi kadhaa imepita tangu ahitimu  Elimu yake katika ngazi ya  Diploma (Diploma in Business Administration) katika chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)  Kampasi ya Dodoma.
 
 BAADHI YA PICHA MBALIMBALI  ZINAZO MUONYESHA  MAREHEMU BARAKA ENZI ZA UHAI WAKE...
 Photo: R.I.P MJOMBA BARAKA MSOMALI MAY UA SOUL REST IN PEACE
Photo: R.I.P MSOMALIPhoto: mungu ailaze mahali pema peponi mjomba Baraka Msomali...daima wanafunzi wa CBE DODOMA watakukumbuka kwa ucheshi wako na ukarimu wako pamoja na vituko vyako vya kuchekesha...MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI AMEEN
Picha ya juu: Marehemu  Baraka kulia akiwa na Moja ya Marafiki zake, Enzi za uhai wake
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 Habari hizi ni kwa hisani ya   Abdilah M Lugome

No comments :

Post a Comment