kuza biashara yako

kuza biashara yako

Pages

Saturday, December 14, 2013

HII NDIO TUME YA KURATIBU UCHAGUZI WA TAHLISO 2013/2014


        Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi  ya TAHLISO  wakiwa katika picha ya Pamoja
  Mwenyekiti wa Muda aliyeratibu upatikanaji wa tume  Bi. Teddy  Ladislaus   ( Makamu wa Rais wa  Chuo cha Mzumbe) akihitimisha  zoezi hilo hapo jana.
    Mwenyekiti wa Muda aliyeratibu upatikanaji wa tume  Bi. Teddy  Ladislaus   ( Makamu wa Rais wa  Chuo cha Mzumbe) akisalimiana na Katibu wa Tume ya uchaguzi Bi. Fatma Othman , Katikati ni  Mwenyekiti wa Tume hiyo Bw.Mansou Mshauri.
 
    Mwenyekiti wa Tume Bw.Mansou Mshauri. akizungumza  na  wajumbe wa Mkutano mkuu  wa TAHLISO
   Tume iliyochaguliwa ikiwa  mbele ya Mwenyekiti wakati wa kula kiapo kabla ya kuanza kazi hapo jana

No comments :

Post a Comment