kuza biashara yako

kuza biashara yako

Pages

Tuesday, November 19, 2013

YALIYOJILI KWENYE BONANZA LA MICHEZO ST.JOHN KWENYE MPIRA WA KIKAPU IKIAMBATANA NA VIDEO YAO....!


 Naibu waziri Bw. Masali Mnukwa akiwa na kocha Bw. Steven Shinji wakiwa wanaandaa kikosi chao cha mpira wa Kikapu. Hii ni bonanza la michezo ya kirafiki iliyofanyika St.John, katika mchezo huu wa kikapu Cbe ilicheza kwanguvu na kasi ikiwa vuta ni vute kwa kila pande zote. Baada ya mchezo huo Cbe ilipoteza  mechi hii.    
Hawa ni baadhi ya washabiki waliokuwepo kwenye mchezo wa kikapu st.John.
Wachezaji wakiwa wanakumbushana mbinu za mchezo huu.

No comments :

Post a Comment