Naibu waziri Bw. Masali Mnukwa akiwa na kocha Bw. Steven Shinji wakiwa
wanaandaa kikosi chao cha mpira wa Kikapu. Hii ni bonanza la michezo ya
kirafiki iliyofanyika St.John, katika mchezo huu wa kikapu Cbe ilicheza
kwanguvu na kasi ikiwa vuta ni vute kwa kila pande zote. Baada ya mchezo
huo Cbe ilipoteza mechi hii.
Hawa ni baadhi ya washabiki waliokuwepo kwenye mchezo wa kikapu st.John.
Wachezaji wakiwa wanakumbushana mbinu za mchezo huu.












