kuza biashara yako

kuza biashara yako

Pages

Thursday, July 11, 2013

Majina Ya Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato Cha Tano Haya Hapa


 Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulug(kushoto)akitangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano mwaka huu, huku idadi yao ikishuka kwa asilimia 13.34 ikilinganishwa na mwaka jana.
--

No comments :

Post a Comment