kuza biashara yako

kuza biashara yako

Pages

Saturday, March 2, 2013

DR. MACHEYEKI (ALIYEWAHI KUWA MKUU WA CHUO CHA MADINI) ATEMBELEA KAMPUNI YA BG- UINGEREZA.

Aliyewahi kuwa Mhadhiri wa chuo kikuu cha UDOM  na Mkuu wa chuo cha   Madini   DR.  MACHEYEKI (wa kwanza kutoka  kushoto)  siku chache zilizopita alikuwa ni miongoni mwa ujumbe ulio ambatana na Waziri wa Nishati na Madini Prof. Muhongo  kwa lengo la kutembelea  kampuni ya BG iliyoko chini Uingereza.


 Makao makuu ya Kampuni ya BG.
 Mh waziri  Muhongo akisalimia na CEO wa BG Chris.



 Mh Waziri akitembelea makao makuu ya BG Group.


 Mh Waziri Profesa Muhongo akipokea maelezo kutoka kwa injinia wa BG Group.


 Presentation ikiendelea.


 Mh Waziri akifuatilia ramani kutoka kwa msemaji wa kampuni ya BG.


 Control room ya BG Group.